SAKRAMENTI YA KOMUNYO



Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha Mhashamu  Josephat Lebulu ( wa kwanza kulia), Paroko mpya padri Simon Amsi (katikati) na Abate Mkuu kutoka Shirika la Wanakanuni wa kawaida wa Mtakatifu Victor wa Kanuai ya Mtakatifu Augustino (CRSV) nchini Ufaransa Hugues Paulze d'Ivoy (wa kwanza kushoto) wakitoa Sakramenti  ya Komunyo kwa watoto katika Misa ya uzinduzi wa Parokia mpya ya Mtakatifu Yuda Thadei  Ilboru Jimbo Kuu Katoliki Arusha (picha na Doreen Aloyce)

Comments

Popular posts from this blog

SALA YA ASUBUHI:SALI HIVI..

Ujio wa Wamisionari wa Kwanza Tanzania Bara (2)

HISTORIA YA SHEREHE YA MOYO MTAKATIFU WA YESU