"SAIDIENI WASEMINARI"



Waamini wa Jimbo Katoliki Kahama wametakiwa  kudumisha  moyo wa kujitoa juu ya  kuwasaidia  vijana  wanaosoma shule ya seminari ya Ushirombo iliyopo parokia ya Bikira Maria Msaada wa Daima  kwa sababu ni kitalu na kitivo cha miito ya upadri  ndani ya Kanisa.

Wito huo umetolewa hivi karibuni na Askofu wa Jimbo Katoliki Kahama, Mhashamu Ludovick Minde wakati wa harambee ya kuichangia seminari ya Ushirombo na kutoa wito kwa waamini kuona hapo ndiyo kitalu cha kupata miito ya upadri na maaskofu wa kesho.







Comments

Popular posts from this blog

SALA YA ASUBUHI:SALI HIVI..

Ujio wa Wamisionari wa Kwanza Tanzania Bara (2)

HISTORIA YA SHEREHE YA MOYO MTAKATIFU WA YESU