Posts

Showing posts from July, 2020

Uchaguzi Mkuu kuangukia Jumatano imejibu maombi ya Wakristo – TEC

Image
KATIBU Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Padri Charles Kitima, ameielezea hatua ya Serikali kuitangaza Oktoba 28 kuwa tarehe ya kuppiga kura katika Uchaguzi Mkuu nchini,   kwamba imietimiza ombi la muda mrefu la waamini Wakkristo kufuatai tarehe hiyo kuangukia Jumatano ambayo siyo siku ya Kiibada kwao. Alitoa kauli hiyo   wakati akizungumza na vyombo vya habari, katika mahojiano yaliyofanyika ofisini kwake Kurasini jijini Dar es Salaam, ambapo alisema tofauti na chaguzi zilizopita ambazo zimekuwa zikifanyika siku ya Jumapili, uchaguzi wa mwaka huu umetekeleza kwa vitendo haki ya kila Mtazania kuwa na Uhuru wa kuabudu na uhuru wa kupiga kura. “Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 5 inaweka wazi haki ya kila Mtazania mwenye sifa zinazotakiwa kushiriki kikamilifu uchaguzi iwe ni kwa kupiga kura au kuchaguliwa huku Ibara ya nane pamoja na mambo mengine, inatoa uhuru wa kujitawala…hivyo uchaguzi wa namna hii kufanyika Jumapili ulikuwa unagonganisha

Kahama Waanza Maandalizi Kumpokea Askofu Mpya

Image
Msimamizi wa kitume wa Jimbo Katoliki Kahama Askofu Ludovick Minde ALCP/OSS amewataka mapadre,watawa na waamini kuendelea kusali na kudumisha umoja na mshikamano wanaposubiri mungu aweze kuwapatia Askofu mpya. Askofu Minde ambaye ni Askofu wa Jimbo Katoliki Moshi amesema hayo katika misa takatifu iliytofanyika katika kanisa la Mtakatifu Karoli Lwanga iliyoambatana na kuzindua rasmi kamati ya maandalizi ya kumpokea rasmi Askofu Mpya anayekuja. Askofu Minde amewataka wanajimbo la Kahamaa kwa imani kuendelea kusali na kumuomba mungu aweze kuwapatia mchungaji mkuu wa jimbo hilo.

Kahama Waanza Maandalizi Kumpokea Askofu Mpya

Image
Msimamizi wa kitume wa Jimbo Katoliki Kahama Askofu Ludovick Minde ALCP/OSS amewataka mapadre,watawa na waamini kuendelea kusali na kudumisha umoja na mshikamano wanaposubiri mungu aweze kuwapatia Askofu mpya. Askofu Minde ambaye ni Askofu wa Jimbo Katoliki Moshi amesema hayo katika misa takatifu iliytofanyika katika kanisa la Mtakatifu Karoli Lwanga iliyoambatana na kuzindua rasmi kamati ya maandalizi ya kumpokea rasmi Askofu Mpya anayekuja. Askofu Minde amewataka wanajimbo la Kahamaa kwa imani kuendelea kusali na kumuomba mungu aweze kuwapatia mchungaji mkuu wa jimbo hilo.