WALIMU NA WADAU WA MUZIKI MTAKATIFU WAKUTANA TEC

 


Baadhi ya matukio yanayojiri katika Mkutano unaowakutanisha Walimu na wadau wa Muziki Mtakatifu wa Kanisa Katoliki, hasa wanaoongoza makundi mbalimbali ya kujadili Muziki Mtakatifu kwa njia ya mtandao. Mkutano huo unafanyika katika Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), na kuongozwa na Askofu Salutaris Libena wa Jimbo Katoliki Ifakara, na Mwenyekiti wa Idara ya Liturujia Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (Na Pascal Mwanache)


















Comments

Popular posts from this blog

SALA YA ASUBUHI:SALI HIVI..

Ujio wa Wamisionari wa Kwanza Tanzania Bara (2)

HISTORIA YA SHEREHE YA MOYO MTAKATIFU WA YESU