JIMBO KATOLIKI BUNDA LAPATA PADRI MPYA, KATIKA PAROKIA YA NAKAMWA KISIWANI UKEREWE

Jimbo katoliki Bunda limempata padri mpya, Joanes Nyawach katika misa takatifu ya upadrisho iliyofanyika katika parokia ya Nakamwa Kisiwani Ukerewe na kuongozwa na Baba Askofu Renatus Nkwande wa Jimbo hilo. Yafuatayo ni baadhi ya matukio muhimu yaliyotokea siku hiyo.

 















Comments

  1. Mungu ni mkubwa mwenye upendo asante kwa zawadi ya padri mpya

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

SALA YA ASUBUHI:SALI HIVI..

Ujio wa Wamisionari wa Kwanza Tanzania Bara (2)

HISTORIA YA SHEREHE YA MOYO MTAKATIFU WA YESU