HONGERA SANA ABATE NA MAPADRI WAPYA JIMBO KUU KATOLIKI SONGEA


Abate mpya Octavian Masingo OSB baada ya kusimikwa kuwa abate mpya wa Abasia ya Wabenediktini wa Mtakatifu Maurus  Hanga, iliyopo katika Jimbo Kuu Katoliki Songea. Abate Masingo ni abate wa tatu wa Abasia ya  Hanga, ambapo abate wa kwanza alikuwa Abate Alkwin Nyirenda na wa pili ni Abate Thadei Mhagama



Askofu wa Jimbo Katoliki Bunda Mhashamu Renatus Nkwande akisaini cheti cha uthibitisho wa Padri mpya  Prosper Luhinda, baada ya kutoa Daraja Takatifu la Upadri kwa Padri Luhinda



Mapadri wapya wa Jimbo Kuu Katoliki Songea, Padri Paulo Mwalongo na Padri Felix Kalemba, mara baada ya kupewa Daraja Takatifu la Upadri na Askofu Mkuu Damian Dallu wa jimbo hilo.



Comments

Popular posts from this blog

SALA YA ASUBUHI:SALI HIVI..

Ujio wa Wamisionari wa Kwanza Tanzania Bara (2)

HISTORIA YA SHEREHE YA MOYO MTAKATIFU WA YESU