Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Mawasiliano Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Bernard James (kushoto) akimkaribisha Katibu wa Wizara ya Habari, tamaduni, sanaa na michezo Profesa Elisante Olegabriel (KULIA) ambaye ndiye mgeni rasmi katika maadhimisho siku ya upashanaji habari duniani. Kitaifa yalifanyika Katika Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC).



Comments

Popular posts from this blog

SALA YA ASUBUHI:SALI HIVI..

Ujio wa Wamisionari wa Kwanza Tanzania Bara (2)

HISTORIA YA SHEREHE YA MOYO MTAKATIFU WA YESU