MAMA TEREZA KUTANGAZWA MTAKATIFU TAREHE 4 SEPTEMBA

Pichani siku ya jumapili, Juni 29, 1997 Papa John Paul II akimsalimu Mama Tereza wa Kalkutta walipokutana huko St. Peter Basilica Vatican. Mama Tereza atatangazwa Mtakatifu Sept. 4 2016. Mama Tereza alijitoa kwa moyo mkubwa kuwasaidia masikini huku akizingatia misingi ya kanisa katoliki hasa kuwa na moyo wa huruma.

Comments

Popular posts from this blog

SALA YA ASUBUHI:SALI HIVI..

Ujio wa Wamisionari wa Kwanza Tanzania Bara (2)

HISTORIA YA SHEREHE YA MOYO MTAKATIFU WA YESU