DEKANIA YA KIGOMA YAFUNGA MWAKA WA HURUMA YA MUNGU.

Mhashamu Askofu Joseph Mlola wa Jimbo katoliki Kigoma akiongoza Misa wakati wa Hija ya Dekania ya Kigoma, katika Homilia yake amesisitiza kuwa Mwaka huu wa Huruma ya Mungu ulianza kwa ufunguzi wa lango kuu la Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatikani, tukio lililofanyika hapo Desemba 8 mwaka jana, wakati wa Sikukuu ya Bikira Maria Mkingiwa dhambi ya asili.











Comments

Popular posts from this blog

SALA YA ASUBUHI:SALI HIVI..

Ujio wa Wamisionari wa Kwanza Tanzania Bara (2)

HISTORIA YA SHEREHE YA MOYO MTAKATIFU WA YESU