UZINDUZI KANISA BUJORA, MWANZA

Padri Fransis Mtema, Paroko wa Parokia ya Kirumba Jimbo Kuu Mwanza
akiweka jiwe la msingi kwa niaba ya Askofu Mkuu wa Jimbo hilo wakati
wa ufunguzi wa Kanisa la Mt. Theresia wa Mtoto Yesu kigango cha
Isangijo parokia ya Bujora (Picha na Elizabeth Faustine, Mwanza).



Waamini wa Kanisa la Mt. Theresia wa Mtoto Yesu kigango cha
Isangijo parokia ya Bujora wakitoka nje ya Kanisa mara baada ya
ufunguzi wa Kanisa hilo.(Picha na Elizabeth Faustine, Mwanza)

Comments

Popular posts from this blog

SALA YA ASUBUHI:SALI HIVI..

Ujio wa Wamisionari wa Kwanza Tanzania Bara (2)

HISTORIA YA SHEREHE YA MOYO MTAKATIFU WA YESU