Majadiliano ya kiekumene hayakwepeki: Askofu Ruzoka asisitiza
JIMBO
Kuu Katoliki Tabora linaendeleza mchakato wa majadiliano ya kiekumene ili
kujenga na kudumisha majadiliano ya kiekumene miongoni mwa Wakristo.
Askofu Mkuu Paul Ruzoka wa Jimbo Kuu Katoliki
Tabora, katika mahojiano na gazeti hili hivi karibuni amesema kuwa, majadiliano ya kiekumene ndani ya Kanisa ni
kati ya mada zilizojadiliwa na kutolewa maamuzi na Sinodi ya kwanza ya Jimbo Kuu
Tabora iliyoadhimishwa hivi karibuni kwa kuongozwa na kauli mbiu “Yesu hu seba”
yaani “Yesu ni taa ya uhai wa imani
yetu.”
Kanisa linatambua kwamba, Kristo Yesu ndiye
muasisi wake na kwamba, aliunda: Kanisa moja, Takatifu, Katoliki na la Mitume.
Kumbe, majadiliano ya kiekumene miongoni mwa Makanisa ni jitihada za kutaka
kujenga na kudumisha umoja wa Kanisa kama Kristo mwenyewe alivyoliombea, liwe
na umoja. (Rej. Yn. 17: 21) Ikumbukwe kwamba, asili ya Kanisa ni moja,”ameeleza
Askofu Mkuu Ruzoka,
Aidha amesisitiza kuwa, Maaskofu Mahalia
kwa kushirikiana na Khalifa wa Mtakatifu Petro wanapaswa kukoleza ari na moyo
wa majadiliano ya kiekumene yanayojikita katika: ushuhuda wa imani yao kwa
Kristo na Kanisa lake hata kiasi cha kumwaga damu yao; ushuhuda wa sala na
maisha ya kiroho kwa kusali na kutafakari pamoja Neno la Mungu linalopaswa kuwa
ni dira na mwongozo wa maisha ya Wakristo pamoja na kushikimana kwa dhati
katika kuwahudumia maskini na wale wote wanaosukumizwa pembezoni mwa jamii.
Askofu Mkuu Ruzoka anaendelea kufafanua
kwamba, juhudi za majadiliano ya kiekumene zilianza tangu wakati wa maadhimisho
ya Mtaguso wa Pili wa Lyon mnamo mwaka 1276; Mtaguso wa Florence wa Mwaka 1437,
lakini maadhimisho yote haya hayakuweza kuzaa matunda ya umoja wa Kanisa.
Mababa wa Mtaguso Mkuu wa Pili wa Vatikani,
wakaamua kuivalia njuga changamoto ya majadiliano ya kiekumene; dhamana
iliyoendelezwa kwa namna ya pekee na Mtakatifu Yohane XXIII, Mwenyeheri Paulo
VI, Yohane Paulo II, Benedikto XVI na kwa sasa kasi ya majadiliano ya kiekumene
imeongezeka zaidi chini ya uongozi wa Baba Mtakatifu Fransisko.
“Kwa namna ya pekee kabisa, Jimbo Kuu Katoliki
Tabora lilihamasika kwa maneno ya Mtakatifu Yohane Paulo II wakati wa
maadhimisho ya Jubilei Kuu ya Miaka 2000 ya Ukristo aliyelitaka Kanisa kuwa ni
chombo cha msamaha, haki, amani na upatanisho, ili kuponya dhambi na madonda ya
utengano miongoni mwa Wakristo, ili kweli maadhimisho ya Millenia ya tatu ya
Ukristo yaweze kuwa ni chachu ya msamaha, upatanisho na umoja wa Kanisa.
Hii ni changamoto pia iliyokuwa
imefanyiwa kazi na Mababa wa Sinodi ya kwanza ya Afrika na hatimaye, Papa
Yohane Paulo II akachapisha Wosia wa Kitume, Kanisa Barani Afrika, “Ecclesia in
Africa” akiitaka Familia ya Mungu Barani Afrika kujikita katika Uenezaji wa
Injili unaofumbatwa katika utamadunisho, majadiliano na mchakato wa maendeleo
endelevu ya binadamu: kiroho na kimwili, daima Kanisa likiwa ni sauti ya
wanyonge,” amesema.
Jimbo Kuu Katoliki Tabora linaendelea
kutekeleza maazimio ya Sinodi ya kwanza ya Jimbo masuala mbali mbali yaliyobainishwa
katika mchakato wa majadiliano ya kiekumene.
Hii ikiwa ni pamoja na kushiriki katika
Juma la Sala kwa ajili ya Kuombea Umoja wa Wakristo, kuanzia tarehe 18 - 25
Januari, wakati wa maadhimisho ya Siku kuu ya Kuongoka kwa Mtakatifu Paulo,
Mwalimu na mtume wa mataifa. Lengo ni kuwajengea waamini uwezo ili kweli waweze
kuwa ni mashuhuda na vyombo vya huruma ya Mungu sanjari na kuongeza ushirikiano
na mshikamano katika medani mbali mbali za maisha.
Pia amebainisha kuwa, Jimbo kuu la Tabora
limejiwekea utamaduni wa kusali pamoja na Wakristo wa Madhehebu mbalimbali
wakati wa Jumatatu ya Pasaka na Siku kuu ya Noeli, ili kuweza kuimarisha imani,
mwingiliano katika maisha ya ndoa na familia, ili familia ziweze kushiriki kikamailifu
katika maadhimisho ya Mafumbo ya Kanisa kwa kufuata taratibu, kanuni na sheria
zilizowekwa na Mama Kanisa.
Hii pia ni dhamana ya kuimarisha ushiriki
wa wazazi katika malezi na makuzi ya watoto wao kadiri kanuni msingi, maadili
na mwanga wa Injili.
Wnistimit-ho Tom Proulx click here
ReplyDeletekingtasfaestan
Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.
ReplyDeleteMwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.
Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.
Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.
Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159 dawnacuna314@gmail.com
Uchawi wa mapenzi wa Dkt. Dawn hufanya maajabu kweli.
ReplyDeleteNiliwasiliana na Dkt. Dawn wakati uhusiano wangu ulipovunjika kabisa. Mpenzi wangu wa zamani alikuwa ameniacha na kunizuia kwenye mitandao yote ya kijamii. Nilivunjika moyo na kupoteza tumaini. Baada ya kushauriana na Dkt. Dawn, kila kitu kilibadilika. Mpenzi wangu wa zamani alirudi peke yake, akaomba msamaha kwa dhati, na akaomba msamaha. Leo, tunaishi pamoja kwa furaha, na hata tuna mtoto.
Maneno hayatoshi kuelezea jinsi ninavyoshukuru. Kutokana na uzoefu wangu, naweza kusema kwa ujasiri kwamba Dkt. Dawn ni halisi, anayetegemewa, na mwenye nguvu. Ikiwa unakabiliwa na hali yoyote ngumu maishani mwako hivi sasa, Dkt. Dawn anaweza kukusaidia.
ANAWEZA KUKUSAIDIA KWA MATATIZO YAFUATAYO:
Kurudisha ndoa na mahusiano yaliyovunjika
Kuvutia mafanikio na ukuaji katika biashara
Matatizo ya uanaume, utasa, na ukosefu wa watoto
Kurejesha mali zilizoibiwa au zilizopotea
Kurudisha kazi zilizopotea au fursa za kazi
Kinga dhidi ya uchawi na macho mabaya
Hirizi za mvuto
Kutatua migogoro ya ardhi na mali
Kuwafanya wapenzi kutimiza ahadi zao
Kushinda kesi mahakamani, na mengine mengi
Huu si ulaghai — ni ushuhuda kutoka kwa uzoefu.
Kwa maelezo zaidi, wasiliana naye moja kwa moja kwenye WhatsApp. +2349046229159. dawnacuna314@gmail.com