WAAMINI WAASWA KUWA NA HURUMA





WAAMINI wa dini ya kikristo nchini, wametakiwa kuwa na matendo mema na yanayompendeza Mungu, hususanI katika kipindi hiki cha mwaka wa huruma.

Akihubiri jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, katika misa ya sala ya utume mama wa mataifa yote (Bikra Maria), Padri Faustine Kamugisha amesema ni vyema kila mmoja akayafuata yale matendo mema, anayofanya Mama Maria............taarifa zaidi soma gazeti la KIONGOZI

Comments

Popular posts from this blog

SALA YA ASUBUHI:SALI HIVI..

Ujio wa Wamisionari wa Kwanza Tanzania Bara (2)

HISTORIA YA SHEREHE YA MOYO MTAKATIFU WA YESU