RAIS MAGUFULI AZAWADIWA BIBLIA NA ROZALI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli amepokea zawadi ya BIBLIA TAKATIFU na ROZALI kutoka kwa Padri Kiongozi Germin Longio aliposhiriki ibada ya Misa Takatifu Dominika ya kupaa kwa Bwana iliyofanyika katika Parokia ya Toleo la Bwana Jimbo Arusha

Comments

Popular posts from this blog

SALA YA ASUBUHI:SALI HIVI..

Ujio wa Wamisionari wa Kwanza Tanzania Bara (2)

HISTORIA YA SHEREHE YA MOYO MTAKATIFU WA YESU