ASKOFU MSONGANZILA ATOA MPAKO WA WAGONJWA MUSOMA




Askofu wa Jimbo Katoliki la Musoma Michael Msonganzila akiwapa wagonjwa sakramenti ya mpako wa wagonjwa katika ibada ya kuwaombea wagonjwa iliyofanyika katika Parokia ya Mtakatifu Augostine Mwisenge (picha na Veronica Modest)






Comments