KOMESHENI NDOA ZA JINSIA MOJA-RUWA'ICHI



Askofu mkuu wa jimbo kuu katoliki Mwanza Yuda Thadei Ruwaichi amekemea vikali ndoa za jinsia moja na kusema sasa ni wakati muafaka kwa jamii kuzikomesha.
Amekemea ndoa hizo jijini Mwanzakatika misa takatifu ya azimisho la sikukuu ya wakina baba iliyofanyika katika parokia ya Kawekamo jijini humo.
Askofu Ruwaichi amesema hakuna familia yoyote takatifu inayoweza kutengenezwa na watu wawili wa jinsia moja walioamua kuishi pamoja kindoa.
Amesema ndoa takatifu ni ile ya mme na mke kuoana na kupata Baraka zote za Mwenyezi Mungu.
“Watu wanamkosoa Mwenyezi Mungu kwa kuamua kuoana mme kwa mme ama mke kwa mke na kuamua kuasili watoto kitu ambacho hakikubaliki katika dini yoyote”Amekemea Askofu Ruwaichi.
Amelaumu tabia za baadhi ya mataifa makubwa yaliyoendelea kuyashauri mataifa madogo yanayoendelea kukubaliana na tabia hizi alizoziita”chafu” kwa kisingizio cha misaada na haki za binadamu.
“Mwenyezi Mungu alikuwa na maana kubwa kuweka ndoa takatifu ,kutoa zawadi,tunu,furaha,upendo na Baraka kwa mke na mme walioamua kuishi pamoja na kujenga familia,sasa iweje leo mwanadamu apinge hilo?”Amehoji
Amewataka wanafamilia(mke na mme)kuishi kwa amani,furaha,upendo na imani kwa Mwenyezi Mungu ndani ya familia hasa kwa kuzingatia kuwa muunganiko huo ni kanisa la nyumbani.
Sambamba na kemeo hilo,Askofu mkuu amewataka mapadri wote wa Jimbo kuu Mwanza kuitafsiri,kuifundisha na kuisambaza hati fundishi(furaha ya upendo)katika kila Jumuiya ili iziboreshe familia.
Hati hiyo inatoka kwa Baba Mtakatifu Papa Francisko lengo lake likiwa kuziimarisha familia takatifu.

Bernard James,Mwanza

Comments

  1. Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

    Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

    Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

    Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

    Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

    Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159

    dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

SALA YA ASUBUHI:SALI HIVI..

Ujio wa Wamisionari wa Kwanza Tanzania Bara (2)

MJUE MTAKATIFU MARIA GORETTI