HUDUMA ZA KIJAMII

Mhashamu Baba Askofu wa Jimbo katoliki Musoma Michael Msonganzila hivi karibuni alizindua na kubariki kisima cha maji katika kijiji cha Kiagata lengo likiwa kumaliza tatizo kubwa la ukosefu wa maji na kuyafuata umbali mrefu linalowakabili hasa wakinamama wa kijiji hicho.Kijiji hiki kipo katika parokia ya Butiama.




Comments

Popular posts from this blog

SALA YA ASUBUHI:SALI HIVI..

Ujio wa Wamisionari wa Kwanza Tanzania Bara (2)

HISTORIA YA SHEREHE YA MOYO MTAKATIFU WA YESU