WAKRISTO WAZIISHI IMANI ZAO


ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Tabora Mhashamu Paulo Ruzoka ametoa angalizo kwa waamini kuachana na maisha ya uzabizabina(ujanjaujanja) na kuishi Imani katoliki kwa uaminifu katika maisha yao ya kila siku katika mazingira yoyote.
 
Rai hiyo ameitoa hivi karibuni katika adhimisho la Misa Takatifu katika kufunga mwaka wa Rozari Takatifu ya Bikira Maria tangu awatokee watoto kule Fatima Ureno.







Comments

Popular posts from this blog

SALA YA ASUBUHI:SALI HIVI..

Ujio wa Wamisionari wa Kwanza Tanzania Bara (2)

HISTORIA YA SHEREHE YA MOYO MTAKATIFU WA YESU