HATIMAYE ASKOFU CASTORY MSEMWA APUMZISHWA




HATIMAYE Askofu wa Jimbo Katoliki Tunduru Masasi marehemu Castory Msemwa amepumzishwa Katika Kanisa la Kiaskofu la Mtakatifu Fransisko Cxavery Oktoba 25 mwaka huu jimboni humo.

Akihubiri Katika Ibada ya Misa Takatifu ya kumuaga iliyoongozwa na Makamu wa Rais Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Askofu Mkuu Beatus Kinyaiya, Askofu Mkuu Damian Dallu wa Jimbo Kuu Katoliki Songea amesema Kanisa linaomboleza kwakuwa limempoteza Askofu mchapakazi aliyefahamu wajibu wake...Habari zaidi soma Kiongozi la wiki hii




Comments

Popular posts from this blog

SALA YA ASUBUHI:SALI HIVI..

Ujio wa Wamisionari wa Kwanza Tanzania Bara (2)

HISTORIA YA SHEREHE YA MOYO MTAKATIFU WA YESU