KARDINALI PENGO AWAONGOZA WAAMINI KUIOMBEA NCHI AMANI



ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, amewaongoza wamisionari wa Utoto Mtakatifu na utume wa Bikira Maria Mama wa Mataifa yote na waamini nchini kusali rozari takatifu kwa ajili ya kuiombea nchi amani, tukio lililofanyika katika kituo cha Msimbazi, Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam...zaidi soma gazeti Kiongozi la wiki hii.



Comments

Popular posts from this blog

SALA YA ASUBUHI:SALI HIVI..

Ujio wa Wamisionari wa Kwanza Tanzania Bara (2)

HISTORIA YA SHEREHE YA MOYO MTAKATIFU WA YESU