MKUTANO WA WAFANYAKAZI TEC, UONGOZI WAWAKUMBUSHA WAJIBU

SEKRETARIETI ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania TEC imefanya mkutano na wafanyakazi wa kurugenzi, idara, waratibu na wafanyakazi wa vitengo kadhaa chini ya baraza. Mkutano huo pamoja na mambo mengine umewakumbusha wafanyakazi tunu za baraza, utendaji kazi, dira na dhamira ili waboreshe utendaji kazi wao wa kila siku. Mkutano Katibu Mkuu wa TEC Padri na Padri Raymond Saba. Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa mikutano TEC-Kurasini, Jijini Dar es Salaam





Comments

Popular posts from this blog

SALA YA ASUBUHI:SALI HIVI..

Ujio wa Wamisionari wa Kwanza Tanzania Bara (2)

HISTORIA YA SHEREHE YA MOYO MTAKATIFU WA YESU