KARDINALI PENGO AKABIDHI MRADI WA KISIMA KWA SERIKALI


Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amemkabidhi Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu, kisima cha maji katika kituo cha mafunzo cha watoto (Mahabusu ya watoto) Upanga jijini Dar es salaam. Kardinali Pengo amekabidhi mradi huo uliotokana na michango iliyotolewa na Watoto wa Shirika la Kipapa la Utoto Mtakatifu Jimbo Kuu Katoliki Dar es salaam, ambapo hadi kukamilika kwake mradi huo umetumia jumla ya shilingi Milioni 11,780, 000/=. (Na Pascal Mwanache)
























Comments

Popular posts from this blog

SALA YA ASUBUHI:SALI HIVI..

Ujio wa Wamisionari wa Kwanza Tanzania Bara (2)

HISTORIA YA SHEREHE YA MOYO MTAKATIFU WA YESU