RATIBA YA MAZISHI YA PADRI UBALDUS KIDAVURI

BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA
RATIBA YA MAZISHI YA PADRI UBALDUS KIDAVURI TAREHE 16 APRILI 2018
KURASINI DAR ES SALAAM
MUDA
TUKIO
WAHUSIKA
3:00 -4:30 Asubuhi
Wageni kuwasili na Kusaini kitabu cha Maombolezo
Kamati
4:30 Asubuhi
Kuingia Kanisani
Wote
5:00-7:00 Mchana
Adhimisho la Misa Takatifu
Wote
7:00-7:30 Mchana
Wasifu wa marehemu na Salamu za Rambirambi
Makundi mbalimbali (Kama yapo)
7:30-8:00 Mchana
Heshima za mwisho
Wote
8:15 Mchana
Kuingiza mwili kwenye gari, wanaosindikiza mwili kuingia kwenye magari kuelekea Same
Wawakilishi
8:30 Mchana
Kufunga shughuli
Wote


Raha ya Milele Umpe Ee Bwana na Mwanga wa Milele Umwangazie. Apumzike kwa Amani, AMINA.

Comments

Popular posts from this blog

SALA YA ASUBUHI:SALI HIVI..

Ujio wa Wamisionari wa Kwanza Tanzania Bara (2)

HISTORIA YA SHEREHE YA MOYO MTAKATIFU WA YESU