Msitumie vibaya utajiri wenu -Askofu Kinyaiya asema
Na Ndahani Lugunya na Rodrick
Minja, Dodoma
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki
Dodoma Mhashamu Beatus Kinyaiya, amekemea tabia ya baadhi ya wakristo waliopewa
utajiri na Mwenyezi Mungu kuutumia vibaya utajiri huo hususani kwa kuwanyanyasa
wanyonge, yatima, masikini na wasiojiweza.
Ameyasema hayo wakati akitoa
homilia yake kwenye adhimisho la sadaka ya Misa Takatifu, katika Parokia ya
Bikira Maria Mama wa Damu Azizi ya Yesu-Kisasa Jimboni Dodoma, Misa iliyokwenda
sambamba na utoaji wa sakramenti Takatifu ya kipaimara kwa vijana 76 wa Parokia
hiyo.
Katika homilia yake Askofu
Kinyaiya amesema kuna baadhi ya wakristo wamejaliwa kupata utajiri kwa halali
kabisa, lakini kosa linakuja pale mtu anapoutumia utajiri huo kwa ubadhilifu na
kuzitumia katika matumizi yake ya kila siku pasi na mpangilio mzuri.
“Mmejaliwa utajiri na Mwenyezi
Mungu hivyo utumieni kwa kutenda mema na sio kunyanyasa wengine ambao
hawakujaliwa utajiri huo kwani hata ipo siku mwenyezi munghu anaweza
kukunyang`anya utajiri huo pasi kujua lolote lile” aliongeza Askofu Mkuu
Kinyaiya
Katika hatua
nyingine Askofu Kinyaiya amewataka wazazi na walezi wenye watoto
kuanzia umri wa mwaka mmoja hadi miaka saba, kuanza kuwajengea msingi wa kuwafundisha
lugha ya kiingereza kabla ya kuwapeleka shuleni kuanza elimu ya msingi.
Amesema kwamba, umri wa mtoto
kuanzia miaka hiyo akili yake ni kama sponji mpya ambapo huwa ni mwepesi wa
kufyonza kila kitu kwenye akili yake, kumbe wazazi wenye watoto wa umri huo
wawafundishe lugha ya kingereza kabla hawajawapeleka shuleni.
“Kwahio sasa wazazi
wenye watoto wadogo, umri wa kumsaidia mtoto ni pale anapokuwa kuanzia mwaka wa
kwanza mpaka wasaba akili yake kama sponchi mpya inayofyonza kila kitu, na ndio
maana watoto wanakuwa wepesi sana ukimnyima kitabu ataokota hata karatasi
njiani atasoma, akili ina dai ina uwezo mkubwa,’ amesema.
Amesema moja ya tatizo lililopo
nchini kwa watoto kutokufanya vizuri katika elimu ya sekondari ni lugha ya
kingereza, kwani wanapokuwa katika elimu ya msingi wanafundishwa masomo yao kwa
kutumia lugha ya Kiswahili, hivyo wanapofika ngazi ya sekondari lugha ya
kiingereza inawapa shida.
Sasa wazazi tunawasaidiaje katika
hilo, kama tumeshajua ile miaka saba ndio mahali pazuri kwa mtoto kufyonza,
wazazi muanze kusaidia watoto wakiwa nyumbani bado kwenye suala la lugha,”
amesema Askofu Mkuu Kinyaiya.
Ameongeza na kusema
kwamba wazazi wasisubiri tu watoto wakafundishwe lugha ya kingereza
wakiwa shuleni, wakati wapo watu wa karibu nyumbani wanaoweza kuwafundisha
lugha hiyo wakiwa hapo, ambapo amesema kama yupo Baba, Mama, Kaka au Dada
anaejua kingereza basi awajibike kumfundisha mtoto.
Katika hatua nyingine amewataka
vijana walioimarishwa kwa sakramenti ya Kipaimara na vijana
wengine nchini, kujiepusha na makundi mabaya yanayojihusisha na
utumiaji wa bangi na madawa mengine ya kulevya.
Amesema mazingira mtu anayoishi
wakati mwingine yanaweza kumfanya mtu akawa hovyo asipokuwa mwangalifu, hivyo
akawataka vijana kujitahadharisha na marafiki wanaoweza kuwashawishi kutumia
madawa ya kulevya.
Amewataka waimarishwa hao
kusimama imara katika kuitetea imani ya Kanisa Katoliki popote pale wanapkuwa,
kwani tayari wamekwishakuwa watu wazima kiimani.
Ibada hiyo ya Misa Takatif imekwenda
sambamba na zoezi la kubariki jiwe la msingi la ujenzi wa Kanisa la parokia
hiyo, ambapo ujenzi huo umefikia hatua ya kunyanyua nondo na umekwisha gharimu
takribani milioni 200 mpaka sasa.

UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI MPAKA MASAA 48(Siku 2) POPOTE ULIPO.
ReplyDelete(Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajili ni azina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)
MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA
kwa maelezo kamili piga namba +255 742162843
(KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
KATIKA SAFARI YA MAFANIKIO TUNAPITIA MENGI ILI TUWEZE KUFANIKIWA LAKINI WENGI WETU KUNA MAMBO MACHACHE SANA WENGI WETU TUNAYADHARAU NA KUMBE NDIO CHANZO CHA MAFNIKIO YETU.
NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.
(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
1. uwe una umri wa miaka 18+
2. uwe tayari kupokea masharti yote
3.uwe na uwezo wa kutunza siri
4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO
SAFARI YAKO YA MAFANIKIO UTAJIRI NA RIZIKI ZAKO ZIMESIMAMA NA KUZINASUA UWEZE KUSONGA MBELE SOMA KWA UMAKINI UWEZE KUIJUA SIRI HII.
HAYA NI MAMBO 7 YAKUZINGATIA KATIKA SAFARI YAKO YA MAFNIKIO
i) Wazazi wako wakiwa wamekulea mpaka ukawa mkubwa wafumbua macho unawaona akikisha usiwafanye wakajuta kukuzaa asilimia kubwa wazazi wanakuwa na tabu sana ila zile tabu zao ndio zinazokufanya wewe una aminiwa na watu na unaeshimika na kujieshimu
Kwaiyo jitahidi sana kuwa nao vizuri kuna wengi maisha yao wanaishi kwa shida chanzo ni utofauti baina ya wazazi wao
Ukiona wazazi wako wanatabu sana usiwajibu vibaya wewe kaa nao mbali ila wape majukumu yao unacho fanya kuwaona nakurudi ulipo apo utaona mambo yako yatakuwa vizuri sana
ii) JAMBO LA PILI
Akikisha unatunza uzao wako yani ukijua ni mtoto ni wako basi jitahidi sana kutoa uduma ata kidogo ulicho nacho lakini udumia usiache uzao wako unateseka na njaa wewe una kula maisha aisee fahau
Kila mtoto wako anavyo kuwa ndio mambo yako yanaaribika usipo udumia kwaiyo ukiwa waitaji kufanikiwa zaidi jali uzao wako
iii) JAMBO LA TATU
ukiwa umeoa au umeolewa usitoe talaka au kuomba talaka kabla mwenzio ayupo tayari kwa muda huo fahamu ukiomba talaka au akikupa talaka bila bila sababu ya msingi yeye tu ana matamanio ya kidunia basi anamuda atapoteza muelekeo wa maisha yake
iv) UKIWA WAPATA PESA
ukiwa wapata pesa alafu utoi sadaka basi kufikia kwenye ukuu utachelewa sana mana mana pesa badala ya kutoa kwa iyari yako utatoa kwa matatizo kwaiyo jitahidi icho icho kidogo toa sadaka kwa wenye uitaji
v) USIMZULUMU MTU
kama wataka kufika mbali kwenye mafanikio yako usimzulumu mtu ata kwa uchache wa kitu usifanye ivyo itakugarimu kiasi kikubwa
vi) USIZARAH MILA
ukiwa kwenu kuna mambo ya mila mzimu tambiko jitahidi kufatilia sana aya mambo yanarudisha nyuma sana usipo yawahi mapema
vii)USIWE WA NAMNA
1)ikiwa ujafanikiwa jitahidi sana usiwe mvivu kufanya kazi usiwe muhuni usiwe mwenye chuki na asira zisizo za msingi usiwe na tamaa nyoa vizuri vaa nguo za eshima na usiige maisha ya watu.
KWA MAWSILIANO ZAIDI KUHUSU MATATIZO MBALIMBALI YA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA, PETE MALI ZA NDAGU NA MAJINI N.K
DOKTA MDIRO Call/whatsup +255 742162843.