MJUE MTAKATIFU MARIA GORETTI


Mt Maria Goreti alizaliwa mwaka 1890,Oktoba 16,huko Corinaldo,Ancona nchini Italia.Baba yake ambaye alikuwa mkulima,aliiamishia familia huko Ferrier di Conca,karibu na Anzio.Akafa baada ya kuugua malaria.Mama yake alifanya kazi nyingi kumudu familia.Wakati mama yake,kaka na dada zake wakienda shambani,yeye aliachwa nyumbani akipika,kusafisha nyumba na kumwangalia mdogo wake aliyeitwa Teresa.Japo familia ilikuwa maskini,lakini bado walimwamini Mungu.
Mwaka 1902,Julai 5,jirani yao aliyeitwa Alessandra,alijaribu kumbaka Mtakatifu Maria Goreti.Maria alipiga yowe na kumwambia mbakaji,Hiyo ni dhambi,Mungu hapendi.Akasema pia kuwa yu tayari kufa kuliko kufanya dhambi ile.Alessandro alitoa kisu,akamchoma Maria mara 14,Sehemu mbalimbali .Hakupata msaada wowote mpaka mama yake,na ndugu zake waliporudi kutoka shamba.Wakampeleka hospitali ambako alifanyiwa matibabu na kushonwa bila ganzi.Daktari alikuwa na hakika kuwa Maria angekufa.Alimwomba Maria akienda mbinguni asimsahau.Siku iliyofuata alisema kuwa,amemsamehe Alessandro na angependa akutane nae mbinguni.
Mt Maria Goreti alikufa siku  hiyo tarehe Julai 6 1902,akiangalia picha ya Bikira Maria,na akiwa ameshika msalaba kifuani mwake.Baada ya familia ya Mtakatifu Maria kujua,Alessandro alikamatwa na kuhojiwa.Alikiri kujaribu kubaka,na akathibitisha kuwa hakufanikiwa kumbaka.Alessandro akahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela.Akiwa jela aliota kuwa alikuwa bustanini,Maria akampa ua.Alipolipokea lilimuunguza katika viganja vyake.Alivyoamka alibadilika ,akawa mpya.Alitubu dhambi yake,akaishi maisha mapya.Akakaa jela miaka 27,alipoachiwa alienda moja kwa Moja kwa Mama yake Maria,akamwomba msamaha.Mama huyo alisema,Mwanangu alikusamehe,mimi siwezi kukukatalia msamaha.
Mtakatifu Maria GoretiAlitangazwa mwenyeheri mwaka  1947,April 27 na Papa Pius XII.Akatangazwa mtakatifu mwaka 1950, Juni 24.

Watakatifu wengine wa leo ni

Mt. Abrahamites Monks
Mt. Dominica
Mt. Goar
Mashahidi wa Abrahamites
Mt. Merryn
Mt. Modwenna
Mt. Monennaa
Bl. Nazaria Ignacia March Mesa
Mt. Noyala
Mt. Rixius Varus
Mt. Romulus na wenzake
Mt. Sexburga
Bl. Thomas Alfield
Mt. Tranquillinus

Comments

  1. CHUMA ULETE YA CHUNGU

    Kwanza CHUMA ulete Ni nini?
    Ni dawa ambayo utengenezwa kwa mkusanyiko wa utaratibu Fulani unaofanyika kwa pamoja kwa mlengo wa uvutaji au uvunaji wa fedha kutoka sehemu tofauti au mbalimbali.

    (Kwa uhitaji wa NDAGU AU JIHNI WA MALI AU FEDHA NA KINGA YA MWILI NA MALI KWA UJUMLA NIPIGIE SIMU MOJA KWA MOJA DOKTA MDIRO +255 742162843 KWA MAELEKEZO HATA KAMA UKIWA MBALI MALIPO NI BAADA YA MAFANIKIO).

    CHUMA ulete katika utengenezwaji hutumika jini anayeitwa GHUUL ambae uleta au uvuta fedha kimazingala kutoka sehemu mbalimbali kwa utaratibu maalumu. CHUMA ulete zipo Aina nyingi Ila leo nitazungumzia CHUMA ulete mdogo ya CHUNGU.

    Chuma uleteee ndogo ya chungu ambayoo inaluka na kwenda kukusanya pesa sehemu mbali mbali inavuta pesa ndanii .

    Hii chakula chake ni udi tuu na unaweza kunuwiza ukachagua ukaomba ikuletee pesa za aina gani wewe utachaguwa kama unavyoona hapo kwenye picha hii ni chuma uleteee ndogo mtu yeyotee anaweza kutengenezewa hata kama huna biashala pia hata Kama upo mbali kikubwa tu uwe na uwezo wa kutunza sili. Vile vileee hii inadumu miaka 5 itakubidii uludi kuja kutengeneza upya kafara ya damu ya kuku mwekunduu inatakiwa kila baada ya miezi 3.

    Tafuta chungu kama icho kwenye picha fanya duwa maalumu ambayo nitakupatia na tafuta udi Aina ya sain frola, metrofrolla au metromillan na kitambaa cheupe pia chumba kisafi kwa ajili ya ibada hiyo.

    Kumbuka hii ni chuma uleteee ndogo ya chungu hutakiwi kutoaa sili ya jini huyu na ufalume wa jini huyu maana utavunja miiko na maagano ya Jambo Hilo.

    Angalizo Piga simu kuepuka MATAPELI pia kwa maelekezo zaidi husifanye jambo hili bila maelekezo KAMILI.

    DOKTA MDIRO

    Call/whatsup +255 742162843

    ReplyDelete
  2. UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI.

    (Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajiri ni hazina kutoka kwa mwenyezi Mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)

    CALL/WHATSUP +255 742162843

    MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM NA NAFUU KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA

    kwa maelezo kamili piga namba +255742162843

    (KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    NAITWA DR, MDIRO piga +255742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
    (HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
    MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.

    NIPIGIE +255742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.

    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
    KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

SALA YA ASUBUHI:SALI HIVI..

Ujio wa Wamisionari wa Kwanza Tanzania Bara (2)